• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

Idara ya Ardhi na Maliasili

Idara ya Ardhi na Maliasili inaundwa na vitengo vikuu viwili (2) kama ifuatavyo:-

 Kitengo cha Ardhi

 Kitengo cha Maliasili

1.0 KITENGO CHA ARDHI

Ndani ya kitengo cha Ardhi pia kuna vitengo vikuu vine (4) navyo ni:-

  • Usimamizi katika Ardhi (Land Management)
  •  Mipango Miji na Vijiji (Town and Rural Planning)
  • Uthamini (Valuation)
  • Upimaji na Ramani (Surveying and Mapping)

Majukumu ya Kitengo hiki

  • Kuratibu na kudhibiti uendelezaji wa Miji na Vijiji.
  •  Kuratibu uandaaji wa Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi Vijijini na Mijini.
  • Kujenga uwezo wa kupanga na kutekeleza majukumu ya uendelezaji ardhi kwenye Halmashauri.
  • Kuelimisha jamii kuhusu Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi.
  •  Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Mipango ya Ardhi.
  •  Kubaini fursa na vikwazo vya uendelezaji.
  •  Kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa mipango ya Miji na Vijiji inayoandaliwa.
  • Kusimamia uendelezaji wa maeneo ya makazi.
  •  Kushughulikia maombi ya mabadiliko ya matumizi ya kiwanja, muunganiko/mgawanyo wa kiwanja.

UTHAMINI (VALUATION)

Majukumu ya Kitengo hiki

  • Kukusanya taarifa za utafiti na mwenendo wa soko la Ardhi.
  •  Kuhakiki kumbukumbu za utafiti na kuziingiza kwenye kompyuta
  •  Kupokea maombi na kufanya uthamini chini ya usimamizi wa Mthamini aliyesajiliwa
  • kukagua, kupima na kuoanisha thamani ya majengo na ardhi kwa ajili ya kumbukumbu(Data Bank)
  •  Kufanya uthamini wa malipo ya fidia, kodi za nyumba, rehani, bima, mizania (Balance sheet) na mauzo ya mal

UPIMAJI NA RAMANI (SURVEY AND MAPPING)

Majukumu ya kitengo hiki

  • Kuandaa maeneo ya kusimika alama za msingi za upimaji
  •   Kutayarisha michoro ya utambuzi (Description diagrams)
  • Kupokea na kuhakiki picha za anga kutoka kwa mkandarasi.
  • Kufanya upimaji, mahesabu na kuandaa taarifa za kazi (Demarcation, coordination, computation and compilation).
  • Kuchora plani za upimaji (Survey plan)
  •  Kuchora plani za Hati (Deed plan)
  • Kuingiza taarifa za upimaji kwenye kompyuta (alpha numeric data)
  • Kukagua kazi za upimaji na kuingiza taarifa za kazi zilizothibitishwa kwenye compyuta.
  • Kufanya upimaji picha (aerial triangulation and block adjustment)
  •  Kuandaa vikosi kwa ajili ya kuhuisha ramani (map revision)
  •  Kutunza kumbukumbu za picha za anga
  • Kusimamia na kuchukua vipimo vya tide gauge (Hydrographic survey)
  • Kufanya kazi za nje ya ofisi (field survey operations) chini ya usimamizi wa mpima aliyesajiliwa.
  •  Kutoa huduma kwa wateja (customer services)
  • Kukagua masuala ya upimaji katika Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya (technical auditing)
  •  Kupokea na kushughulikia maombi ya upimaji picha anga.
  • Kufanya maandalizi ya upimaji wa majini.
  • Kuchambua na kuchunguza taarifa mbalimbali (data analysis)
  • Kusimamia upimaji wa kumbukumbu (data bank)
  • Kuchambua na kuchunguza matokeo ya kazi za upimaji na kutayarisha taarifa ya kiufundi.
  • Kusimamia mfumo wa utayarishaji ramani kwa kompyuta.
  • Kushauri Halmashauri kuhusu masuala ya upimaji na utayarishaji ramani.
  • Kukagua kazi za upimaji na kuziwasilisha kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani
  •  Kufanya ubunifu wa ramani mpya
  •  Kutoa ushauri kwa wateja kwa ajili ya ramani maalum (thematic map)
  • Kufanya operasheni za upimaji
  •  Kufanya  uchambuzi wa takwimu (data processing and analysis)
  •  Kutayarisha alama za upimaji (survey plan beacons)\
  •  Kupanga na kuandaa mahitaji ya kambi za upimaji, vifaa vya upimaji na mahitaji ya jumla.
  • Kuandaa na kuchambua vifaa kwa ajili ya utayarishaji ramani.
  • Kuchambua, kushona, kukata na kuunganisha nyaraka zilizochapwa.

KITENGO CHA MALIASILI  Ndani ya kitengo cha Maliasili  pia kuna vitengo vikuu vitatu (3) navyo ni:-

Misitu , Nyuki na Wanyamapori.

MISITU

Majukumu ya Kitengo hiki

  • Kusimamia shughuli zote za upande wa misitu.
  • Kusimamia watumishi wote wa upande wa misitu walioko makao makuu na kwenye kata.
  • Kusimamia shughuli za Mkuhumi na mkaa endelevu na utoaji vibali kwa wavunaji wa mazao ya misitu.
  • Kusaidiana na Afisa wanyama pori wilaya katika kuratibu na kufuatilia shughuli za sehemu ya wanyamapori.
  •  Kuwapangia kazi na kusimamia watumishi wa misitu waliopo makao makuu na kwenye kata.

    WANYAMAPORI

        Majukumu ya Kitengo hiki

  • Doria kusimamia sheria, taatibu na miongozo ya Idara.
  • Kulinda maisha ya wananchi na mali zao dhidi ya wanyamapori waharibifu na wakali.
  • Kutoa elimu ya uhifadhi, usimamizi na matumizi endelevu ya wanyama pori.
  • Ukusanyaji maduhuli na kazi za utawala.

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI KILINDI D-TANGA May 03, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI June 07, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YANUNUA KILO 3707 ZA MBEGU ZA MAHARAGWE KUPITIA MAPATO YA NDANI

    March 21, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YANUNUA KILO 890 ZA MBEGU ZA ALIZETI KUPITIA MAPATO YA NDANI

    March 20, 2023
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI AMSHUKURU MH:RAIS KWA KUIPATIA HALMASHAURI PIKIPIKI

    March 20, 2023
  • MRADI WA UJENZI WA NYUMBA YA MADAKTARI WAKAMILIKA

    March 13, 2023
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.