• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YAFANIKIWA KUKOPESHA VIKUNDI SHILINGI MILIONI 296.6

Posted on: January 31st, 2023

Halmashauri ya wilaya Kilindi imefanikiwa kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 296.6 kwa vikundi vya vijana,wanawake na walemavu.

Mikopo hiyo imekabidhiwa kwa vikundi hivyo baada ya kukidhi vigezo vya kukopeshwa ili kuwajengea uwezo wanawake,vijana na walemavu kujikwamua kiuchumi

Hafla ya uzinduzi wa miradi ya vikundi hivyo ilifanyika katika makao makuu ya Halmashauri ya wilaya ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya Kilindi Mh:Abel Busalama na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama na serikali na watumishi  wa Halmashauri.

Akizungumzia mikopo hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Kilindi ndugu Gracian Makota alisema Halmashauri kupitia mapato yake ya ndani itaendelea kuviwezesha vikundi vya vijana,wanawake na walemavu kuvipatia mikopo na mafunzo ya namna ya kuendesha miradi yao

Naye mgeni rasmi akiongea katika hafla hiyo aliipongeza Halmashauri kwa kutoa mikopo hiyo ambayo itaviwezesha vikundi vilivyopatiwa mikopo kuboresha miradi yao na hatimaye kuinua kipato cha kaya na taifa.

Miaradi iliyopatiwa mikopo ni ununuzi wa Bodaboda 38,mashine 10 za kiwanda kidogo cha kufumia masweta,Bajaji 4 na Guta 1,mashine ya kukaushia iliki,mashine ya kusaga na kukoboa,kilimo,ufugaji na kununua vifaa kwa ajili ya kuanzisha Bakery ya mikate

Modi Mngumi-Kilindi

MWISHO

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI KILINDI D-TANGA May 03, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI June 07, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YANUNUA KILO 3707 ZA MBEGU ZA MAHARAGWE KUPITIA MAPATO YA NDANI

    March 21, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YANUNUA KILO 890 ZA MBEGU ZA ALIZETI KUPITIA MAPATO YA NDANI

    March 20, 2023
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI AMSHUKURU MH:RAIS KWA KUIPATIA HALMASHAURI PIKIPIKI

    March 20, 2023
  • MRADI WA UJENZI WA NYUMBA YA MADAKTARI WAKAMILIKA

    March 13, 2023
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.