• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kilindi District Council
Kilindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara/Vitengo
      • Idara
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maendeleo ya Jamii
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Ardhi na Maliasili
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Shughuli za Mifugo na Uvuvi
    • Shughuri za Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu na Majukumu yake
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya maadili
    • Ratiba
      • Ratiba za Vikao vya Kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
      • Mradi wa Maji
      • Miradi ya Afya
    • Miradi inayoendelea
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
    • Miradi iliyokamilika
      • Huduma za Afya
      • Mradi wa Maji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video Mbalimbali

HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YAJIANDAA KUTOA MATIBABU YA UTAPIAMLO MKALI

Posted on: May 9th, 2023

Halmashauri ya wilaya Kilindi yajiandaa kuanzisha kitengo cha matibabu ya utapiamlo mkali kitachosaidia wakazi wake kupata matibabu mahali walipo badala ya kufuata matibabu hayo katika hospitali ya mkoa Bombo

Akitoa maelezo ya utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kipindi cha robo ya kuanzia Januari hadi Machi 2023 Mratibu wa kitengo cha lishe ndugu Philimon Nsodya Alisema tayari wataalam sita wakiwemo wataalam wa lishe 2,wauguzi 2 na madaktari 2 wameshapatiwa mafunzo katika hospitali ya Bombo namna ya kuhudumia na kutibu wagonjwa wa utapiamlo mkali

Alisema kitengo cha lishe tayari kimeshafanikisha kupatikana kwa vitepe vya kupimia mzunguko wa mkono(MUAC Tapes) kwa ajili ya kupimia watoto katika vituo vya kutolea huduma za afya ili kubaini watoto walio na tatizo la utapiamlo

Nsodya alisema vitepe hivyo vimepatikana kutoka ofisi ya Afisa lishe mkoa baada ya kuona uhitaji na kukosekana kwa mzabuni na kuongeza kuwa zoezi la upimaji litaanza mwezi Juni 2023 kama mwezi wa Afya

Akizungumza katika kikao hicho Mkuu wa wilaya Kilindi Mh:Abel Busalama aliwataka maafisa tarafa,kata na vijiji kushirikiana na watoa huduma ngazi ya jamii kuelimisha jamii kuwa utapiamlo mkali unatibika na kinachotakiwa ni kuwahi katika vituo vya huduma za afya mara anapoonekana mtoto au mtu mzima ana tatizo la utapiamlo

Modi Mngumi

Mawasiliano Serikalini Kilindi Halmashauri ya wilaya Kilindi

Matangazo

  • NAMNA YA KUPATA KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI KILINDI D-TANGA May 03, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILINDI June 07, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI WILAYANI KILINDI YAMSAIDIA KITIMWENDO MTOTO MLEMAVU WA VIUNGO KITIMWENDO

    June 02, 2023
  • UWAWA WALETA NEEMA SHULE YA MSINGI KWAMAZUMA

    May 29, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA KILINDI YAJIANDAA KUTOA MATIBABU YA UTAPIAMLO MKALI

    May 09, 2023
  • SERIKALI YATATUA TATIZO LA UKOSEFU WA KITUO CHA AFYA KATIKA KATA YA MSANJA WILAYANI KILINDI

    May 05, 2023
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe. Sauda S.Mtondoo alipotembelea Mgodi wa Dhahabu wa Seita
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Hati ya Mishahara
  • SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO TANZANIA, 2015
  • SERA YA TEHAMA YA TAIFA YA MWAKA 2016
  • SHERIA YA MIAMALA YA KIELEKTRONIKI YA MWAKA 2015
  • SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA 2010
  • KITENGO CHA MUITIKIO WA DHARURA WA MATUKIO YA MITANDAONI
  • Mfumo wa Mpango na Bajeti
  • Mfumo wa ffars
  • Mwongozo wa Kutumia Mfumo wa FFARS

Tovuti Nyingine

  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • Baraza la Taifa la Elimu ya kiufundi
  • Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala bora
  • Tovuti ya Ikulu
  • TUME YA TAIFA YA UKIMWI TANZANIA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Sitemap

Copyright ©2018 Kilindi DC . All rights reserved.