Posted on: January 26th, 2023
Serikali imedhamiria kwa vitendo kufufua zao la Pamba ili kuinua uchumi wa wananchi wake ambao wengi ni wakulima.
Dhamira hiyo ya kufufua zao la Pamba imedhihirika wazi baada ya serikali kuto...
Posted on: January 26th, 2023
Shilingi milioni hamsini zimetolewa na serikali kuu kwa Halmashauri ya Wilaya Kilindi kwa ajili ya kutatua tatizo la upungufu wa nyumba za walimu katika shule ya sekondari Pagwi.
Fedha hizo tayari ...
Posted on: January 22nd, 2023
Tatizo la ukosefu wa zahanati katika vijiji sita wilayani Kilindi lapatiwa ufumbuzi kufuatia serikali kutoa shilingi milioni 300 za ukamilishaji zahanati zilizoanza kujengwa na wananchi
Fedha hizo ...