Posted on: March 21st, 2019
Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe.Sauda Mtondoo amekabidhi pikipiki nane kwa vikundi vitatu vya vijana zilizonunuliwa na Halmashauri kwaajili ya kutoa ajira kwa vikundi vya vijana leo tarehe 21/03/2019, a...
Posted on: March 20th, 2019
Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Mhe.Sauda Mtondoo leo amepokea mabati na Komputa zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 22.7 kutoka ofisi ya Mkugenzi wa Mfuko wa Mawasiliano Tanzania na Banki ya ABC.
...
Posted on: February 26th, 2019
Mkuu wa Wilaya Kilindi Mhe. Sauda Mtondoo amezitaka kamati zinazoendesha majosho Wilayani Kilindi kutoa taarifa za mapato na matumizi katika mikutano mikuu ya Serikali za vijiji, alipokuwa akizindua k...